Back to home

Fatuma Zarika aimarisha mazoezi yake tayari kupambana na Flora Machela | Jungu La Spoti

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 19, 2026
2h ago
Bingwa mara 4 wa mkanda wa WBC uzani wa super-bantam, Fatuma Zarika, ameimarisha mazoezi yake tayari kupambana na Flora Machela, raia wa Tanzania, katika pigano la uzani wa super-feather Aprili tarehe 3 huko Edge Convention Centre, South C, hapa jijini Nairobi. Subscribe to NTV
Advertisement