Back to home

Wizara ya mashauri ya Kigeni yahitaji Shilingi 400M kurejesha Wakenya waliokwama mataiafa ya kigeni

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 19, 2026
2h ago
Wizara ya Mashauri ya Kigeni nchini sasa inasema inahitaji shilingi milioni 400 kuwarejesha nchini Wakenya waliokwama mataifa ya Mashariki ya Kati na hata Urusi. Maafisa wakuu wa wizara hiyo waliofika mbele ya kamati ya Bunge la Kitaifa kutetea bajeti yao ya mwaka wa fedha 2026/2
Advertisement