Back to home
Wahudumu wa afya kaunti ya Laikipia watangaza mgomo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 20, 2026
2h ago
Huenda huduma katika hospitali zote za umma kaunti ya Laikipia zikaathirika baada ya vyama vitano vya wafanyakazi wa afya kutangaza mgomo kuanzia saa sita usiku wa Jumatatu ijayo.
Advertisement
Advertisement





