Back to home
Wakazi wa Cherangany wahimizwa kulinda chemchemi za maji Trans Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
2h ago
Wakazi wa eneo la Cherangany wametakiwa kulinda kwa dhati chemchemi za maji zinazotegemewa katika kaunti ya Trans Nzoia na maeneo jirani. Viongozi pamoja na wanamazingira wanasisitiza kuwa upanzi wa miti si hiari, bali ni jukumu la kila mmoja.
Advertisement
Advertisement





