Back to home

Familia mbili kaunti ya Mombasa zinalilia haki baada ya wapendwa wao kuuwawa katika hali tatanishi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 23, 2026
2h ago
Familia mbili katika kaunti ya Mombasa zinalilia haki baada ya wapendwa wao kuuwawa katika hali tatanishi. Katika kisa cha kwanza, Elizabeth Nina aliuwawa na mwili wake kutupwa katika nyumba iliokuwa ikijengwa huko Likoni. Familia yake inadai aliwaarifu kuwa alikuwa anaelekea kwa
Advertisement