Back to home
Idara ya misitu katika kaunti ya Kwale inasema imefikia asilimia 13.9 ya misitu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 24, 2026
1h ago
Idara ya misitu katika kaunti ya Kwale inasema imefikia asilimia 13.9 ya misitu katika kaunti hiyo ikikisistiza idadi hiyo ingali chini.
Mhifadhi Mkuu wa Misitu kaunti ya Kwale Elvis Fondo, anasema lengo ni kufikia asilimia 30 ya miti ifikapo mwaka 2032, akisema kuna juhudi zaidi
Advertisement
Advertisement




