Back to home
Mahakama ya Kisumu iliamrisha fidia ya milioni Ksh. 38.6 kwa waliodhulumiwa kwenye maandamano 2023
video
C
Citizen TV (Youtube)March 26, 2026
2h ago
Mahakama ya Kisumu iliiamrisha serikali kulipa fidia ya shilingi milioni thelathini na nane kwa waathiriwa ishirini na wanane wa maandamano ya mwaka 2023. Jaji Alfred Mabeya alisema baadhi ya washtakiwa, ikiwemo idara ya polisi NPS walikiuka vipengee muhimu vya katiba na kusababi
Advertisement
Advertisement





