Back to home
Gavana Waiguru ataka msamaha wa madeni
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 26, 2026
1h ago
Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ameishinikiza serikali ya kitaifa kuharakisha mchakato wa kufutilia mbali deni la shillingi bilioni 1.06 linalodaiwa na vyama vya ushirika vya kahawa, akionya kuwa mzigo huo unaendelea kudhoofisha wakulima na kuchelewesha ufufuaji wa sekta hiyo.
Advertisement
Advertisement





