Back to home
Viongozi wa kisiasa Kilifi wamkosoa Spika wa seneti Amason Kingi pamoja na Aisha Jumwa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
2h ago
Viongozi kutoka Kaunti ya Kilifi akiwemo Gavana Gideon Mung’aro wamewasuta Spika wa seneti Amason Kingi pamoja na mwenyekiti wa bodi ya barabara nchini Aisha Jumwa Kwa kile walichokitaja kama njama ya kusambaratisha mpango wa serikali mseto.
Viongozi hao wanadai licha ya rais
Advertisement
Advertisement





