Back to home
Mkulima mmoja wa mapapai Kaunti ya Elgeyo Marakwet analilia haki baada ya mapapai 700 kukatwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
2h ago
Mkulima mmoja wa mapapai katika eneo la Emsea Kaunti ya Elgeyo Marakwet Benard Cherugut analilia haki baada ya mapapai yake takriban 700 kukatwa na watu wasiojulikana.
Advertisement
Advertisement





