Back to home

Viongozi wa mlima kenya wanao unga mkono serikali ya Rais William Ruto waendelea kukashifu upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 2, 2026
2h ago
Viongozi wa eneo la mlima kenya wanao unga mkono serikali ya Rais William Ruto wameendelea kuwakachifu wanasiasa wanaokosoa utendakazi wa serikali huku wakiwarai kukoma kuwapoteza wakenya.
Advertisement