Back to home
Viongozi wa mlima kenya wanao unga mkono serikali ya Rais William Ruto waendelea kukashifu upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)April 2, 2026
2h ago
Viongozi wa eneo la mlima kenya wanao unga mkono serikali ya Rais William Ruto wameendelea kuwakachifu wanasiasa wanaokosoa utendakazi wa serikali huku wakiwarai kukoma kuwapoteza wakenya.
Advertisement
Advertisement





