Back to home

Waathiriwa wa maandamano watakiwa kujiandikisha

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 3, 2026
2h ago
Leo ikiwa ni siku ya mwisho kwa waathiriwa wa ghasia kuwasilisha madai yao ili kupata fidia, tume ya kutetea haki za binadamu KNCHR imewataka wale wote ambao bado hawajajiadikisha kufanya hivyo kabla ya siku hii kukamilika.
Advertisement