Back to home
Wakenya wengi hawatafuti huduma za afya mapema, wataalamu wa afya waonya
video
C
Citizen TV (Youtube)April 6, 2026
4h ago
Wataalamu wa maswala ya afya nchini wameitaka jamii kuzingatia umuhimu wa kufanyiwa vipimo vya kimatibabu mara kwa mara. Wameonya kuwa magonjwa mengi yanayowakabili wananchi yanaweza kudhibitiwa vizuri na kupona endapo yatagunduliwa katika hatua za mwanzo kabla ya kuwa makubwa.
W
Advertisement
Advertisement





