Back to home
Harambee Starlets yafanya mazoezi tayari kwa mchuano wa FIFA series
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya soka kwa wanawake Harambee Starlets imeendeleza mazoezi yake tayari kwa mchuano wa FIFA series utakaoandaliwa nchini wikendi.
Kikosi hicho ambacho kinaendelea kukamilika kambini kitachuana na india katika nusu fainali huku Australia wakiwaava na Malawi kwenye nus
Advertisement
Advertisement





