Back to home

Mwogeleaji Andy Kodonde analenga kufanya vyema kwenye mashindano ya kitaifa Mei

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 8, 2026
1h ago
Baada ya kuvunja rekodi tatu katika mashindano ya kuogelea ya Mombasa Junior Championship yaliyofanyika ukumbi wa Aga Khan, mpiga mbizi chipukizi mwenye miaka 11, Andy Kodonde, sasa analenga kufanya vyema kitaifa mwezi Mei hapa Nairobi.
Advertisement