Back to home

Mfanyabiashara wa Australia alaghaiwa shilingi milioni 77 ya dhahabu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 9, 2026
1h ago
Mfanyabiashara mmoja kutoka Australia anakadiria hasara ya zaidi ya shilingi milioni 77 baada ya kulaghaiwa na watu walioahidi kumuuza kilo 600 za dhahabu. Andrew Gaballa anasema alikuwa ameingia kwenye makubaliano na watu kadhaa wenye uraia wa Marekani na Mkenya mmoja kwamba wan
Advertisement