Back to home
Manusura wa mauaji ya halaiki ya mwaka wa 1994 nchini Rwanda washiriki makumbusho hayo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 12, 2026
3h ago
Manusura wa mauaji ya halaiki ya mwaka wa 1994 nchini Rwanda bado wanaitaka jamii ya kimataifa kukubali jukumu kuwa walishindwa kuzuia mauaji yaliyotokea wakati huo. Wakizungumza wakati wa hafla ya ukumbusho wa mauaji hayo mjini Kigali, manusura walisema kuwa jamii ya kimataifa i
Advertisement
Advertisement





