Back to home

Wakulima wa pamba wakosa mbegu wakati wa upanzi Lamu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
3h ago
Wakulima wa pamba katika kaunti ya Lamu wamelalamikia changamoto ya kupokea mbegu za mmea huo wakati wa misimu ya kilimo. Kulingana na wakulima hao, changamoto hizo huchangiwa na bei ghali ya mbegu hizo zinayozalishwa kutoka taifa la India . Wakulima hao sasa wanaishinikiza seri
Advertisement