Back to home
Watu wachache mno wasajiliwa kama wapigakura Runyenjes, Embu
video
C
Citizen TV (Youtube)April 14, 2026
4h ago
idadi ndogo ya wapiga kura wapya imesajiliwa katika eneo la Runyenjes kaunti ya embu, huku Mbunge wa Manyatta Gitonga Mukunji akihusisha hali hiyo na mashine chache za usajili .
Mukunji anasema kuwa mashine tatu pekee kwa kila wadi hazitoshi, na hivyo zinawafungia nje wapigakura
Advertisement
Advertisement





