Back to home
Serikali inajenga ua ili kulinda msitu wa Oloolua Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)April 14, 2026
5h ago
Juhudi za kulinda Msitu wa Oloolua kajiado kaskazini zimepata kasi, huku wadau wakiharakisha mipango ya kuuzungusha uzio msitu huo, kufuatia kuongezeka kwa visa vya uvamizi wa ardhi, uhalifu na uharibifu wa mazingira unaoutishia mustakabali wake.
Advertisement
Advertisement





