Back to home
Wakazi wa eneo bunge la Webuye magharibi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kusajili kura
video
C
Citizen TV (Youtube)April 15, 2026
3h ago
Huku zoezi la usajili wa wapigakura wapya likiendelea kote nchini,wakazi wa eneo bunge la Webuye magharibi wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kujisajili ili washiriki kwenye uchaguzi mkuu ujao. Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa shirika la inua A I linaloangazia masuala
Advertisement
Advertisement




