Back to home
Mwanaume auawa na mwili wake kutupwa nje ya hoteli Tuuti
video
C
Citizen TV (Youtube)April 15, 2026
2d ago
Hali ya huzuni imetanda katika soko la Tuuti Kibabii katika Eneobunge la Kanduyi kaunti ya Bungoma baada ya mwanaume mmoja mhudumu wa hoteli kupatikana ameuawa.
Kulingana na mmiliki wa hoteli hiyo Yusufu Majaliwa, Mfanyakazi wake alinaswa kwenye kamera za CCTV akianguka chini
Advertisement
Advertisement




