Back to home
Kaunti ya Kajiado yashirikiana na AMREF kwa mkataba wa ushirikiano wa kupunguza vifo vya kina mama
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
2h ago
Wizara ya afya Katika kaunti ya Kajiado imetia saini mkataba wa Ushirikiano na mashirika mbali mbali likiwemo shirika la afya la Amref ambao unalenga kusaidia kupunguza vifo vinavyotokea wakati wa kina mama wanajifungua. Kwenye mkataba huo tayari wizara ya afya imepokea vifaa vy
Advertisement
Advertisement




