Back to home
Kenya yatafuta msaada wa dharura kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)April 17, 2026
2h ago
Serikali ya Kenya inatafuta msaada wa dharura wa kifedha kutoka Benki ya Dunia ili kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta inayotishia kuathiri pakubwa uchumi wa nchi. Haya yanajiri huku Rais William Ruto akitia saini mswada wa ushuru wa VAT kuwa sheria na kupunguza ushuru unaoto
Advertisement
Advertisement





