Back to home

Kenya yatafuta msaada wa dharura kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
2mo ago
Serikali ya Kenya inatafuta msaada wa dharura wa kifedha kutoka Benki ya Dunia ili kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta inayotishia kuathiri pakubwa uchumi wa nchi. Haya yanajiri huku Rais William Ruto akitia saini mswada wa ushuru wa VAT kuwa sheria na kupunguza ushuru unaoto

More on this topic

Ruto atia saini sheria ya kupunguza VAT ya mafuta kutoka 16% hadi 8% - April 2026

Rais William Ruto ametia saini mswada wa Marekebisho ya Ushuru wa Thamani (VAT) unaopunguza ushuru wa mafuta kutoka asilimia 16 hadi 8 kwa muda wa miezi mitatu. Hii ni baada ya serikali kutafuta msaada wa dharura kutoka Benki ya Dunia kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta. Hata hivyo, wakazi wa Makueni wamesema bei mpya za mafuta bado hazijapunguza makali ya gharama ya maisha. Mbali na hayo, Mstaafu Jaji Mkuu David Maraga amekashifu ufisadi katika mpango wa uagizaji mafuta kati ya Kenya na mataifa ya Kiarabu.

4 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement