Back to home

Maraga akashifu ufisadi katika mpango wa uagizaji mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
2h ago
Jaji Mkuu mstaafu David Maraga amekashifu kile anachokitaja kama ufisadi kwenye sekta ya mafuta kufuatia mpango wa uagizaji mafuta kati ya serikali za milki ya Kiarabu na Kenya.
Advertisement