Back to home
Kenya Kwanza yasema serikali inadhibiti bei ya mafuta, yatetea umoja wa UDA na ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)April 18, 2026
2h ago
Baadhi ya wanasiasa wa Kenya Kwanza, wakiongozwa na naibu rais Kithure Kindiki, wamesuta upinzani unaoongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua pamoja na mrengo wa Linda Wananchi, na kuwataka kuacha kumhusisha rais William Ruto na kupanda kwa bei ya mafuta. Serikali imesema inafa
Advertisement
Advertisement




