Back to home
Serikali yatetea hatua za kudhibiti bei ya mafuta nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 18, 2026
2h ago
Huku soko la kimataifa la mafuta likiyumba kutokana na misukosuko iliyosababishwa na mzozo wa Mashariki ya Kati, waziri wa kawi Opiyo Wandayi amejitokeza kutetea hatua zilizochukuliwa na serikali ya Kenya. Wandayi anasisitiza kuwa bila mipango ya serikali ya kupunguza ushuru na m
Advertisement
Advertisement





