Back to home
Gachagua atoa makataa ya siku saba kushusha bei ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)April 18, 2026
2h ago
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ametoa makataa ya siku Saba kwa Rais William Ruto Kushusha bei ya mafuta nchini la Sivyo wakenya waandamane kote nchini. Gachagua ambaye alikuwa Nairobi amedai kwamba kupandishwa kwa bei ya mafuta nchini ni dhuluma kubwa kwa wananchi na k
Advertisement
Advertisement





