Back to home

Viongozi kaunti ya Homa Bay wataka vijana wapewe ajira

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
3h ago
Viongozi mbalimbali kutoka kaunti ya Homabay wanaendelea kukemea visa vya wahuni kutumiwa kuvuruga amani hasa katika mikutano ya kisiasa.. viongozi hao akiwemo seneta wa Homa bay Moses kajwang wamedokeza kwamba ni sharti njia mbadala ibuniwe kusaidia vijana kukimu mahitaji yao ya
Advertisement