Back to home
Wanasiasa wa Kaunti ya Wajir sasa wanaitaka tume ya IEBC kuongeza muda wa usajili wa wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)April 23, 2026
2h ago
Baadhi ya wanasiasa wa Kaunti ya Wajir sasa wanaitaka Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini IEBC kuangazia upya muda wa usajili wa wapiga kura, wakisema kuwa mpango wa sasa hauzingatii changamoto za wakazi wa maeneo kame. Wanasiasa hao wanasema kwamba Wajir, haiwezi kulinganishwa na
Advertisement
Advertisement





