Back to home

Zaidi ya watu milioni 1.4 kutoka kaunti sita za Nyanza bado hawajajisajili kama wapiga kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 23, 2026
3h ago
Zaidi ya watu milioni 1.4 kutoka kaunti sita za Nyanza bado hawajajisajili kama wapga kura, licha ya kuwa na vitambulisho. Akitoa takwimu hizo, mratibu katika eneo la Nyanza Flora Mworoa alisema kuwa afisi yake inashirikiana na asasi mbali mbali wakiwemo machifu kuhakikisha kuwa
Advertisement