Back to home

Kaunti ya Kajiado yashirikiana na hospitali ya Kenyatta kutoa matibabu ya masikio

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 23, 2026
2h ago
Wagonjwa zaidi ya 60 ambao wanaugua masikio kutoka kaunti ya Kajiado wametibiwa bila malipo kwenye Kambi ya Matibabu inayoendeshwa na Madaktari kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kenyatta kwa ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kajiado.
Advertisement