Back to home
Wafanyabiasha wa sekta ya uchukuzi waongeza nauli
video
C
Citizen TV (Youtube)April 23, 2026
2h ago
Athari za kupanda kwa bei ya mafuta nchini zinaendelea kuwasakama wananchi, huku Mbunge wa Kajiado Kaskazini, Onesmus Ngogoyo, akitoa wito kwa serikali kuingilia kati na kushughulikia hali hiyo haraka.
Advertisement
Advertisement





