Back to home
Teknolojia ya tiba Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 23, 2026
2h ago
Katibu wa wizara ya afya Dkt. Ouma Oluga ametoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya teknolojia ya tiba, biashara na ubunifu ili kusaidia kupunguza gharama za huduma za afya na kupanua upatikanaji wa huduma bora.
Olunga alisema kuwa kuleta pamoja teknolojia, biashara na ubuni
Advertisement
Advertisement





