Back to home
Wataalam wa afya katika Kaunti ya Embu wanaonya kuhusu ongezeko kubwa la magonjwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 24, 2026
1d ago
Wataalam wa afya katika Kaunti ya Embu wanaonya kuhusu ongezeko kubwa la magonjwa yasiyo ya kuambukiza, huku visa vya kisukari, shinikizo la damu na saratani vikiongezeka kwa kasi maeneo ya mlima kenya.
Advertisement
Advertisement





