Back to home
Mtoto auawa Kisaju, mwili wake wapatikana ndani ya gunia
video
C
Citizen TV (Youtube)April 25, 2026
2h ago
Wakazi wa eneo la Isinya, kaunti ya kajiado wanalalamikia utovu wa usalama baada ya mwili wa mtoto wa miaka saba aliyeripotiwa kutoweka mapema wiki hii kupatikana umetupwa barabarani. Inaarifiwa kuwa wazazi wa mtoto huyo walipokea simu hapo jana kuwataka walipe pesa za ukombozi k
Advertisement
Advertisement





