Back to home

Familia Kajiado yalililia msaada wa kupata mwili wa mtoto aliyesombwa na mafuriko

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 6, 2026
2h ago
Familia moja kaunti ya Kajiado sasa inataka mashirika ya kushughulikia majanga kuwasaidia kumtafuta mwana wao wa gredi ya sita aliyesombwa na mafuriko. Familia ikisema imeshindwa kuandaa mazishi baada ya kushindwa kuuopoa mwili wa Cecilia Wanzaa kutoka mto Meruweshi, ambaye wanas
Advertisement