Back to home

Viongozi Vihiga wamlaumu Oburu Oginga kwa kuvunja maadili ya ODM

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 25, 2026
2h ago
Viongozi wa kundi la linda mwananchi hii leo wamemsuta kinara wa odm Oburu Oginga, kwa madai ya kukiuka maadili ya chama hicho na kupuuza azimio la hayati Raila Odinga. Wakizungumza katika kaunti ya vihiga hii leo, viongozi hao walisema kuwa hawatambui mazungumzo yoyote na chama
Advertisement