Back to home
Viongozi wa kanisa Bungoma wawakosoa wanasiasa wapyoro
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
1h ago
Muungano wa Maaskofu katika kaunti ya Bungoma wamekashfu wanasiasa ambao wanaendeleza siasa za kuchafuliana majina na badala yake kuwataka kuuza sera zao kwa wananchi kwa njia ya Uadilifu.
Wakihutubia wanahabari mjini Bungoma katika Kanisa la Ack, wakiongozwa na Askofu George
Advertisement
Advertisement





