Back to home
Familia yadhibiti uchunguzi wa kifo cha Constance, 22, Kileleshwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
1h ago
Siku moja baada ya kifo cha msichana aliyedaiwa kuanguka kutoka nyumba moja mtaani kileleshwa, familia yake imemtambua huku ikidai haki na majibu kuhusiana na kifo chake. Haya yanajiri huku mshukiwa wa kifo hicho, Tonny Odhiambo akifikishwa mahakamani kibera ambapo wapelelezi wal
Advertisement
Advertisement



