Back to home
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imesema inafufua upya sekta ya korosho
video
C
Citizen TV (Youtube)April 29, 2026
1h ago
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imesema inafufua upya sekta ya korosho ambayo ilikuwa imestawi sana miaka ya 70 kufuatia kuporomoka kwa uzalishaji wa zao hilo kutoka zaidi ya tani 30,000 kwa mwaka hadi chini ya tani 10,000.
Advertisement
Advertisement





