Back to home

Wapelelezi waanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi Kileleshwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 29, 2026
2h ago
Siku tatu baada ya kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu Constance Githinji, wapelelezi wameanza rasmi uchunguzi kwa kufika katika eneo la tukio hilo mtaani Kileleshwa. Kufikia sasa, zaidi ya watu watano wamehojiwa akiwemo mlinzi aliyekuwepo katika eneo hilo muda mfupi baada ya kifo
Advertisement