Back to home
Ripoti yafichua hatari kwa miradi ya nyumba za bei nafuu
video
C
Citizen TV (Youtube)April 29, 2026
1d ago
Takriban asilimia 70 ya miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu imejengwa kwenye ardhi isiyo na hati miliki, ikiweka hatarini miradi hiyo ikiwa haitapata stakabadhi hizo muhimu kwa wakati unaofaa. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti maalum ya hivi punde ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Seri
Advertisement
Advertisement





