Back to home
Gachagua apiga kambi Kajiado, asema rais Ruto ameshindwa na kazi
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 2, 2026
2h ago
Viongozi wa Upinzani wakiongozwa na Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua wamezidi kuishambulia Serikali ya Rais William Ruto, wakidai Kwamba uchumi wa Kenya umedorora kutokana na Sera mbaya za Serikali.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday
Advertisement
Advertisement





