Back to home

Uchunguzi wa kifo cha Daktari Obwaka waendelea, mashahidi wahojiwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 3, 2026
1h ago
Maafisa wa upelelezi wamewa hoji watu kadhaa waliotangamana na Daktari Job Obwaka saa chache kabla ya kifo chake. Maafisa hao walikagua gari la marehemu daktari huyo na kuzuru eneo ambako aliegesha gari lake kabla ya kuelekea kwenye nyumba aliko zimia.
Advertisement