Back to home

Wanawake Ahero wanakodisha mashamba ya mpunga, wagawana faida kutokana na uhaba wa hati miliki

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 3, 2026
2h ago
Baadhi ya kina mama kaunti ya Kisumu wameamua kukodisha mashamba kwa kilimo cha mpunga na mboga ili kujikumu kimaisha. Hatua hii ikijiri huku takwimu za hivi punde zikionyesha uhaba wa hati miliki kama kigezo kikubwa kwa wanawake wakulima. Laura Otieno alizuru mashamba ya Ahero n
Advertisement