Back to home

Sakaja atoa onyo na kuagiza ubomoaji wa ujenzi haramu Kilimani na Lavington kwenye ardhi ya mito

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 3, 2026
1h ago
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja sasa anasema serikali ya kaunti itawaandamana maafisa walioidhinisha ujenzi wa majumba kwenye ardhi ya mpito wa mito. Gavana Sakaja akionya kuwa watakaopatikana na hatia watashtakiwa. Onyo hili linajiri huku serikali ya kaunti ikielekeza ubomoaji
Advertisement