Back to home
Wakazi wa Gatumbi walalamikia wizi wa vyuma vya daraja
video
C
Citizen TV (Youtube)May 5, 2026
2h ago
Baadhi wa wakazi wa kijiji cha Gatumbi eneo la Gichugu Kaunti ya Kirinyaga wameendelea na maandamano ya kushinikiza kukamatwa kwa wahalifu wanaodaiwa kuiba vyuma vya daraja la Mto Nyamindi.
Hii ni kufuatia ongezeko la visa vya wizi wa vyuma hivyo, jambo ambalo linahatarisha mais
Advertisement
Advertisement





