Back to home
Serikali yatakiwa kuweka mikakati ya kuikarabati Barabara ya Shimba Hills
video
C
Citizen TV (Youtube)May 5, 2026
2h ago
Serikali kuu na ile ya kaunti ya Kwale zimetakiwa kukarabati na kuimarisha barabara za eneo la Shimba Hills ambazo ziko katika hali mbaya hususan wakati huu wa mvua.
Mwenyekiti wa chuo cha Bandari Maritime Lung'anzi Mangale Chai, amesema eneo hilo linategemewa pakubwa kwa uzalish
Advertisement
Advertisement





