Back to home

Viongozi wa kidini walaumu matumizi mabaya ya mitandao kwa kuenea kwa HIV

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
1h ago
Viongozi wa kidini kutoka kaunti za Kaskazini Mashariki na Tana River wametaja matumizi mabaya ya mitandao na ukosefu wa hamasisho miongoni mwa vijana kama chanzo cha kuongezeka kwa maambukizi mapya virusi vya HIV. Takwimu kutoka baraza la kitaifa la kudhibiti magonjwa na majanga
Advertisement